Vita vinaanza kwa kisingizio cha watu kwamba “nitakuua wewe kabla ya mimi.”
Kuanza vita ni rahisi, lakini kumaliza vita ni vigumu.
Moyo wangu ni wangu.
Bahari ni pana, lakini si pahala pa kujenga kambi za vita.
Hatusomi shule kwa maana ya kutengeneza silaha.
Ninataka kuthamani maisha yangu na ya watu wengine, halafu ninataka kufikiria na kuzungumuza mambo tunayoyapenda wakati wowote.
2018-05-10